• newdcpc.tz@gmail.com
  • +255754468229 / +255673376601
  • On: 12 Oct, 2022
  • Admin

Makubaliano na wadau mbalimbali ya Kuungana na serikali katika kutekeleza awamu ya Pili

Mkurugenzi Mtendaji wa AMDT Bw. Charles Obutu akiongea na Waandishi wa habari Kuhusu kuingia makubaliano na wadau mbalimbali ya Kuungana na serikali katika kutekeleza awamu ya Pili ya Mpango wa kuendeleza kilimo (SDP2) Oktoba 7, Mkoani Dar es salaam.